TAARIFA KWA WANAHABARI
Kesho Tar 9/1 saa 3:30 Asubuhi kutakuwa na shughuli ya kumpokea Kiongozi Mkubwa wa Upinzani ambaye ameomba kujiunga na CCM na atapokelewa na Mzee Mangula Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Bara.
Ukumbi wa Checkpoint Pugu.
IDARA YA ITIKADI NA UENEZI
OND LUMUMBA
No comments:
Post a Comment