TAARIFA KWA WANAHABARI - YOLO MEDIA Tz

YOLO MEDIA Tz

WORLD MEDIA Tz

TAARIFA KWA WANAHABARI

TAARIFA KWA WANAHABARI

Share This
TAARIFA KWA WANAHABARI Kesho Tar 9/1 saa 3:30 Asubuhi kutakuwa na shughuli ya kumpokea Kiongozi Mkubwa wa Upinzani ambaye ameomba kujiunga na CCM na atapokelewa na Mzee Mangula Makamu wa Mwenyekiti wa CCM Bara. Ukumbi wa Checkpoint Pugu. IDARA YA ITIKADI NA UENEZI OND LUMUMBA

No comments:

Post a Comment

Whatsapp Group

Pages